Maporomoko ya ardhi Kimende, kaunti ya Kiambu
Ili kutoa nafasi kwa juhudi za uokoaji kuwatafuta watu watatu wanaodhaniwa wamefukiwa kwenye maporomoko ya udongo yaliyotokea katika eneo la Matathia eneo bunge la Kimende Lari, barabara ya Kimende Matathia imefungwa kwa muda. Wenyeji waliripoti kuwa jana saa nane mchana, kuwa watu walioathirika hawakuweza kukimbia tukio hilo la kusikitisha, ambalo lilizua hofu na wasiwasi. Juhudi za kutafuta miili inayodhaniwa kusalia ndani ya udongo kwenye eneo la ukubwa wa ekari moja inaongozwa na kundi la kukabiliana na majanga ya kaunti. Gavana Kimani Wamatangi wa Kaunti ya Kiambu amewataka watu kuwa waangalifu ili kuepuka maafa zaidi ya mvua na mafuriko. Brenda wanga anaungana nasi kwa njia ya simu kutoka Kimende.
Видео Maporomoko ya ardhi Kimende, kaunti ya Kiambu канала Citizen TV Kenya
Видео Maporomoko ya ardhi Kimende, kaunti ya Kiambu канала Citizen TV Kenya
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
Mswada wa uchimbaji mawe wapingwaFinance Committee summons 3 lenders on allegation of bodaboda exploitationMuseveni: Small countries like Denmark, Belgium have their head boy; America, who protects themWanaharakati wafanya maandamano kulalamikia ujenziWalimu wa sekondari msingi wanaendeleza maandamanoKipkelion Coffee and Muranga Coffee dealers licensedAirplane manufacturer faces prosecution over '737 max 8' crashesLobby group protests irregular Highrise buildings in NairobiMASKANI | Mdahalo kuhusu ushuru wa boda boda na magari (Part 4)Nipe nikupe na Munene NyagaWalimu wa sekondari msingi waendelea kugomaWakulima na wafugaji wahamasishwa kuhusu haki za pundaDelegates arriving at Jumuia Center for Limuru III conferenceKenya Juniors to step up training after girls finish second in South Africa| SHAJARA | Angeline Kalunda anawatafuta wanawe wawili [Part 1]Mental Health Awareness Month | Awareness seeks to break stigma, foster understandingWakaazi na wafanyibiashara wapata afueni MukothimaWakazi wa Kawangware watoa maoni kuhusu mswada wa fedha wa 2024Internet connectivity back to near normal levelsTeachers protest in various parts of the countryMwenge wa Kaunti | Mikakati ya Gavana Simba Arati kuboresha sekta ya afya kaunti ya Kisii | Part 6