Wakaazi na wafanyibiashara wapata afueni Mukothima
Ni afueni kwa Wakaazi na wafanyibiashara wa eneo la Mukothima kaunti ya Tharaka nithi baada ya kujengwa kwa daraja lililosombwa na maji ya mafuriko. Wakazi walikuwa wakihangaika kuvuka hadi upande wa pili ili kuendelea na shughuli zao wakiwemo wanafunzi walioshindwa kufika shuleni. Wiki chache zilizopita watu wawili waliaga dunia baada ya kusombwa na maji walipokuwa wakivuka mto. Ujenzi wa daraja hilo ulifadhiliwa na afisi ya mwakilishi wa kike kaunti ya Tharaka Nithi Susan Ngugi.
Видео Wakaazi na wafanyibiashara wapata afueni Mukothima канала Citizen TV Kenya
Видео Wakaazi na wafanyibiashara wapata afueni Mukothima канала Citizen TV Kenya
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
Mswada wa uchimbaji mawe wapingwaFinance Committee summons 3 lenders on allegation of bodaboda exploitationMuseveni: Small countries like Denmark, Belgium have their head boy; America, who protects themWanaharakati wafanya maandamano kulalamikia ujenziShughuli za kupiga kura katika Bunge la Seneti zaahirishwaKamati ya bunge la taifa kuhusu bajeti imeendelea na vikaoWalimu wa sekondari msingi wanaendeleza maandamanoKipkelion Coffee and Muranga Coffee dealers licensedAirplane manufacturer faces prosecution over '737 max 8' crashesLobby group protests irregular Highrise buildings in NairobiKenyans want government to prioritize developmentNipe nikupe na Munene NyagaWalimu wa sekondari msingi waendelea kugomaWakulima na wafugaji wahamasishwa kuhusu haki za pundaDelegates arriving at Jumuia Center for Limuru III conferenceKenya Juniors to step up training after girls finish second in South Africa| SHAJARA | Angeline Kalunda anawatafuta wanawe wawili [Part 1]Upskilling workers | Skills gap highlights mismatch between academia and the marketMental Health Awareness Month | Awareness seeks to break stigma, foster understandingSenate postpones voting on gambling control bill 2023Wakazi wa Kawangware watoa maoni kuhusu mswada wa fedha wa 2024