Walimu wa sekondari msingi wanaendeleza maandamano
Walimu wa sekondari msingi katika kaunti ya Samburu wamefanya maandamano mjini Maralal, hadi katika afisi ya tume ya walimu tawi la Samburu kushinikiza tume hiyo kuheshimu uamuzi wa mahakama wa kuwapa ajira za kudumu. Walimu hao wameapa kutatiza masomo shuleni Hadi pale matakwa Yao yatakapotekelezwa. Mwanahabari wetu Bonface Barasa anaarifu zaidi.
Видео Walimu wa sekondari msingi wanaendeleza maandamano канала Citizen TV Kenya
Видео Walimu wa sekondari msingi wanaendeleza maandamano канала Citizen TV Kenya
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
SHAJARA | Simulizi ya Gorreti Atieno, mumewe aliwacha dawa za kupunguza makali ya HIVSANAA YA MUZIKI | Avon Dido ambaye amebobea kwenye R&B, Bongo na AfrobeatWafanyabiashara wateta kuhusu ubomoaji katika soko la GikombaPresident Ruto: Nation building is a Bottom-Up affairTanzanian bank eyes Kenyan marketBaadhi ya viongozi wakanusha kuna mgawanyiko kwenye chama cha UDAKero za giza Tana RiverMpango wa lishe shuleniGov’t to write off Ksh 6.7 billion coffee cooperative societies debtsKipkelion Coffee and Muranga Coffee dealers licensedFriday Night | Surviving Cancer [Part 1]Mswada wa fedha wapendekeza kuongeza ushuru wa bidhaaWachezaji watano wapya wajumuishwa kwenye timu ya Harambee StarsAzimio wakosoa mapendekezo ya mswada wa fedha 2024Cleophas Malala: We are soon opening UDA leadership school to teach leaders the party's manifestoNaibu wa Rais Gachagua ahimiza umoja wa kitaifaUchaguzi wa chama cha UDA eneo bunge la Starehe wavurugwaUpanzi wa miti KwaleA marionettist entertains early birds at Madaraka Day celebrations in BungomaLevel up FridaysKalonzo Musyoka warns government against overburdening Kenyans with taxes