Wakulima na wafugaji wahamasishwa kuhusu haki za punda
Wanaibiwa, wanadhulumiwa na hata kuchinjwa kwa minajili ya nyama na ngozi yao. Nazungumzia punda ambaye haki zake Mara nyingi husahaulika. Kulingana na sensa ya humu nchini, takriban punda milioni moja pekee ndio waliosalia.
Huku sherehe za kuadhimisha siku maalum iliyotengwa kuwakumbusha Wakulima na wafugaji kuhusu haki za punda na jinsi ya kumtunza ili awafae zikifanyika hii leo kote nchini. Kaunti ya Homabay ni mojawapo ya kaunti zilizo na idadi kubwa ya punda nchini kando na kaunti za Kitui na Turkana.
Видео Wakulima na wafugaji wahamasishwa kuhusu haki za punda канала Citizen TV Kenya
Huku sherehe za kuadhimisha siku maalum iliyotengwa kuwakumbusha Wakulima na wafugaji kuhusu haki za punda na jinsi ya kumtunza ili awafae zikifanyika hii leo kote nchini. Kaunti ya Homabay ni mojawapo ya kaunti zilizo na idadi kubwa ya punda nchini kando na kaunti za Kitui na Turkana.
Видео Wakulima na wafugaji wahamasishwa kuhusu haki za punda канала Citizen TV Kenya
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
Maafisa wa polisi kusubiri miezi kadhaa kuongezwa mishaharaRoller Skating in EldoretKipkelion Coffee and Muranga Coffee dealers licensedKifo tatanishi MachakosInfotrak poll shows 77% of Kenyans oppose fainance billWanafunzi wa shule za umma Uasin Gishu wapewa sodoWizara ya fedha yatoa pesa za kuwalipa madaktariGovernor Wavinya raises alarm pver tree cutting in MachakosAngry traders at Katito Market lynch suspected thiefWalimu wakuu walalamikia kukosa pesaSerikali ya Norway yaahidi kupiga jeki sekta ya kawi safiWanaharakati waelezea wasiwasi kuhusu maiti ya Shakaholawazazi na wanafunzi walalamikia karo ya juu ya vyuo vikuuZaidi ya wanafunzi 3,000 kutoka Risa kaunti ya Kajiado kunufaika baada ya kujengewa maktabaInfotrak poll shows 83% of Kenyans oppose the proposal“Tuwe huru, tuwe watu wa kutembea na kushikana…” Ruto allies encourage MPs to foster national unityThe new look of Hot96NSDCC inazindua mikakati ya kukabili maambukizi ya virusi ya UkimwiMwenge wa Kaunti | Mikakati ya Gavana Simba Arati kuboresha sekta ya afya kaunti ya Kisii | Part 6Washikadau wataka DCI kuchunguza kifo cha mwakilishi wadi aliyeuawa SamburuMashirika mbalmbali waunga mkono juhudi za kulinda mazingira