Загрузка...

Shirika la Kenya Red Cross yatoa vifaa vya kukabiliana na Ebola mpakani Busia

Huku serikali ikiendelea kujitahidi kukabiliana na msambao wa virusi vya Ebola nchini, Shirika la Kenya Red Cross limetoa ufadhili wa vifaa vya kukabiliana na maambukizi ya virusi hivyo katika mpakani wa Busia. Afisa wa Shirika hilo kaunti ya Busia Maurice amebaini kuwa Busia iko katika hatari kubwa ya maambukizi ya Ebola kwa kuwa mpakani, huku akihimiza wakaazi kudumisha usafi na kufahamu dalili za ugonjwa huo. Naye Mkurugenzi wa afya ya Umma, Lok Joseph Oprong’ ameshukuru kwa vifaa hivyo vitakavyosaidia madaktari katika kudhibiti na Ebola eneo hilo.

Видео Shirika la Kenya Red Cross yatoa vifaa vya kukabiliana na Ebola mpakani Busia канала Undugu TV
Яндекс.Метрика
Все заметки Новая заметка Страницу в заметки
Страницу в закладки Мои закладки
На информационно-развлекательном портале SALDA.WS применяются cookie-файлы. Нажимая кнопку Принять, вы подтверждаете свое согласие на их использование.
О CookiesНапомнить позжеПринять