Загрузка...

Katibu Mkuu wa COTU atetea haki za wafanyakazi na usawa wa maslahi yao

Katibu Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi nchini (COTU), Francis Atwoli, auunga mkono uamuzi wa mahakama unaopiga marufuku ubaguzi kati ya wafanyakazi wa kudumu na wale wa vibarua wanaotekeleza majukumu sawa .Atwoli amekashifu baadhi ya kampuni za kibinafsi na mawakala wa ajira kwa kuwatumia wafanyakazi kama bidhaa na kwa kuwalipa nusu ya mishahara ikilinganishwa na wenzao wenye elimu na majukumu sawa . Atwoli amesisitiza kuwa uamuzi huo wa mahakama itasaidia vyama vya wafanyakazi kushinikiza uwepo wa mazingira ya haki na usawa kazini.

Видео Katibu Mkuu wa COTU atetea haki za wafanyakazi na usawa wa maslahi yao канала Undugu TV
Яндекс.Метрика
Все заметки Новая заметка Страницу в заметки
Страницу в закладки Мои закладки
На информационно-развлекательном портале SALDA.WS применяются cookie-файлы. Нажимая кнопку Принять, вы подтверждаете свое согласие на их использование.
О CookiesНапомнить позжеПринять