Загрузка...

Mapigano kati ya jeshi na wapiganaji wa SPLA-IO yaongezeka kwa kasi Sudan Kusini

#SouthSudan #MSF #HEALTH #SPLA-IO #msf

Shirika la Madaktari wasiokuwa na mipaka MSF limeishutumu serikali ya Sudan Kusini kwa kuzuia misaada ya kibinadamu kufika katika maeneo yanayodhibitiwa na upinzani huku mapigano kati ya jeshi na wapiganaji wa SPLA-IO yakiongezeka kwa kasi.

Видео Mapigano kati ya jeshi na wapiganaji wa SPLA-IO yaongezeka kwa kasi Sudan Kusini канала RFI Kiswahili
Яндекс.Метрика
Все заметки Новая заметка Страницу в заметки
Страницу в закладки Мои закладки
На информационно-развлекательном портале SALDA.WS применяются cookie-файлы. Нажимая кнопку Принять, вы подтверждаете свое согласие на их использование.
О CookiesНапомнить позжеПринять