Загрузка...

Mzozo wa Iran: China yasema tatizo la miaka mingi haliwezi kusuluhishwa kwa siku moja

#beijing #chinairan #chinausa

Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi ametoa wito kwa Iran na Marekani kusonga mbele kwenye mazungumzo yao yanayolenga kuafikia mkataba wa kumaliza mapigano mashariki ya kati.

China imekuwa ikifanya juhudi za kumaliza mzozo wa sasa kati ya Tehran na Washington ambapo imekuwa ikifanya mazungumzo na pande hizo kwa lengo la kuafikia makubaliano.

Beijing imesisitiza kuwa changamoto ya muda mrefu haiwezi kutatuliwa kwa siku moja.

Видео Mzozo wa Iran: China yasema tatizo la miaka mingi haliwezi kusuluhishwa kwa siku moja канала RFI Kiswahili
Яндекс.Метрика
Все заметки Новая заметка Страницу в заметки
Страницу в закладки Мои закладки
На информационно-развлекательном портале SALDA.WS применяются cookie-файлы. Нажимая кнопку Принять, вы подтверждаете свое согласие на их использование.
О CookiesНапомнить позжеПринять