Wakazi wa miji ya Kilifi wataka wapewe chakula na maji
Wakaazi kutoka miji tofauti kaunti ya Kilifi Sasa wanaomba serikali kuwapatia chakula na maji.
Kulingana na Wakaazi hao serikali imekua ikishughulikia maeneo ya mashinani lakini athari za baa la njaa hazichagui miji wala vijiji. Waziri wa ugatuzi kaunti ya Kilifi Gabriel katana anasema watu zaidi ya 148,000 wameathirika .
Hali ya wanafunzi Shuleni kaunti hiyo tayari imebanwa na ukosefu wa chakula na maji huku idadi kubwa ya wanafunzi wakikosa kuhudhuria masomo Shuleni.
Видео Wakazi wa miji ya Kilifi wataka wapewe chakula na maji канала Citizen TV Kenya
Kulingana na Wakaazi hao serikali imekua ikishughulikia maeneo ya mashinani lakini athari za baa la njaa hazichagui miji wala vijiji. Waziri wa ugatuzi kaunti ya Kilifi Gabriel katana anasema watu zaidi ya 148,000 wameathirika .
Hali ya wanafunzi Shuleni kaunti hiyo tayari imebanwa na ukosefu wa chakula na maji huku idadi kubwa ya wanafunzi wakikosa kuhudhuria masomo Shuleni.
Видео Wakazi wa miji ya Kilifi wataka wapewe chakula na maji канала Citizen TV Kenya
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
Fred Obachi Machoka's family celebrates four generations of fatherhoodJudges, magistrates suspend services over the killing of Principal Magistrate Monica KivutiKenya's tax burden to increase by 1 trillion shillings by 2027Vijana katika eneo la Bonde la Ufa watumia teknolojia kulinda misituKenya misses out on promotion to Billie Jean cup group IIResidents turn to gold mining in Lami Nyeusi, West PokotFerdinard Omanyala lights up Nyayo stadiumOle Serini residents stage demos over poor roadsInvasive Ipomea plant has destroyed grazing fields in KajiadoCS Soipan Tuya bans livestock grazing in forestsKipkelion Coffee and Muranga Coffee dealers licensed| MAWAIDHA NA BI MSAFWARI | utafanyaje ukijua uliye naye anapenda mtu mwingine?Swila's shotWakazi wa Kambi Karaya, Pokot Magharibi, wageukia uchimbaji dhahabuBei ya mafuta nchini imepunguaFarouk Kibet: Lugha yetu ni maendeleo na amani na sio matusiMmea aina ya 'Ipomea' unaharibu malisho ya mifuga KajiadoKipsigis community wants multinational tea firms to return landNaibu wa rais Rigathi Gachagua awafokea baadhi ya mawaziriBudget 2024/25: Retirement benefits exempted from income taxA Generation of Fatherhood | Fred Obachi Machoka's father Mathew Obachi shares lessons of fatherhood