Загрузка...

MNYAMA PORI HATARISHI AINA YA NYATI AUAWA TUNDURU

Askari wa Wanyamapori kwa kushirikiana na Askari Polisi, Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, wamefanikiwa kumuua mnyama pori hatari aina ya Nyati aliyejitokeza na kuleta taharuki kubwa kwa wananchi wa eneo la Kadewele lililopo mjini Tunduru mkoani humo.

Baadhi ya wakazi wa eneo la Kadewele lililopo mjini Tunduru mkoani Ruvuma, wameeleza namna mnyama huyo alivyoonekana hadi askari walipochukua hatua za kumuua, huku Afisa Maliasilili Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, Bwana Dunia Almasi pamoja kukiri kupokea maagizo ya Mkuu wa Wilaya hiyo, Bwana Denis Masanja kuhusu kufanya tathmini ya mazao ya wananchi yaliyoharibiwa.

Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our Youtube Channel : http://bit.ly/itvtanzania
Facebook : https://bit.ly/2KeQNl3
Twitter : https://bit.ly/2XG7aii
Instagram : https://bit.ly/34KItmg

Видео MNYAMA PORI HATARISHI AINA YA NYATI AUAWA TUNDURU канала ITV Tanzania
Яндекс.Метрика
Все заметки Новая заметка Страницу в заметки
Страницу в закладки Мои закладки
На информационно-развлекательном портале SALDA.WS применяются cookie-файлы. Нажимая кнопку Принять, вы подтверждаете свое согласие на их использование.
О CookiesНапомнить позжеПринять