JINSI YA KUWALISHA VIFARANGA WA KUKU WA KIENYEJI WAKUWE HARAKA
Jinsi ya kuwalisha vifaranga wa Kuku wa kienyeji Wakuwe Haraka
Kuna baadhi ya Watu hawapendi kufuga kuku wa kienyeji kwa kusingizia kuwa wanachelewa kukuwa na vifaranga wa kienyeji wanashambuliwa sana na magonjwa, sasa kwenye kipindi cha leo nitakuelekeza jinsi kuwalisha vifaranga wa kuku wa kienyeji ili waepukane na magonjwa na wakue haraka uwahi kuwauza na upate faida.
Stay tuned
Tatizo kubwa la vifaranga vya kuku wa kienyeji kushambuliwa na magonjwa, kudumaa na kuchelewa Kukuwa ni chakula.
Wafugaji wengi wa kuku wa kienyeji huwapa kuku chakula ambacho sio mlo kamili (Balance Diet)
Mlo kamili (Balance Diet) ni chakula ambacho kinavirutubisho vyote muhimu kwaajili ya Kulinda mwili dhidi ya magonjwa, Kuupa mwili nguvu, kujenga mwili, kuupa mwili joto, kuimarisha mifupa na kusafisha na kurahisisha mifumo ya mwili kufanya kazi vizuri
Unaweza ukajiuliza ni vyakula gani hivyo ambavyo vinafanya kazi zote hizo mwilini?
Usipate shida, nitakufundisha kila kitu kwenye video hii. Chakufanya kama ndio mara ya kwanza kutazama video za channel hii basi Subscribe na kisha bonyeza alama ya kipengele itakayojitokeza, pia usisahau ku-Like na share ili Tuwafikie Wafugaji wengi. Vilevile unaweza kuuliza chochote kwenye comment na sisi tutakujibu.
Vyakula hivyo ambavyo huchanganywa na kukupa mlo kamili wa kuku wa kienyeji ni kama vifatavyo
Vyakula vya Kulinda mwili dhidi ya magonjwa ni Vitamin ambayo hutokana na Mimea kama Azolla, hydroponics, mchicha, Lucina na mimea yote ya kijani au unaweza kuchanganya ambayo imeandalia maalumu (premix)
Vyakula vya Kuupa mwili nguvu ni Carbohydrates/Wanga ambayo hutokana na nafaka kama mahindi, mtama, ngano, na pumba zote za nafaka
Vyakula vya kujenga mwili ni Protein ambayo hutokana na mashudu ya alizeti, karanga na pamba, Soya, Dagaa (Fishmeal) na damu ya wanyama iliyoandaliwa maalumu kwaajili ya chakula cha kuku
Vyakula vya kuupa mwili joto ni Fats/ Mafuta vyakula Vyenye mafuta kama Alize, karanga, pamba, nazi na mashudu ya vyote nilivyotaja
Vyakula vya Kuimarisha mifupa ni Madini mbalimbali ambayo hutokana na Unga wa mifupa ya wanyama na samaki na Chokaa kama Calcium, Iron, Phosphorus, Zinc n.k
Na Maji safi na salama, ambayo
Husafisha na kurahisisha mifumo ya mwili kufanya kazi vizuri
Vyakula vyote nilivyo taja vikichanganywa kwa utaratibu maalumu na kutengeneza Digestible Crude Protein (DCP) ya 18% - 20% chakula hicho kinaitwa stater/Chick Mash ambacho wanapewa vifaranga walio na umri wa siku 1 mpaka wiki 8 na wanatakiwa kulishwa kwa utaratibu maalumu .
Utaratibu wa kuwalisha vifaranga wa kienyeji ni kama ufatao.
Wiki ya 1 na 2 walishe chick stater bila kuwapimia, wape wale tuu kadri watakavyo chakula kikiisha kwenye feeder waongezee. Kufanya hivyo kutawasaidia kuimarisha kinga ya mwili ili kuwaepusha na magonjwa nyemelezi, kujenga mwili na vifaranga watakuwa kwa haraka.
Ukiweza kumudu gharama kwa kipindi hiki cha siku 14, walishe stater ya pillet vifaranga watakula chakula chote bila kubakisha na wataimarika kwa haraka sana.
Wiki ya 3 mpaka wiki ya 7, endelea kuwalisha Vifaranga stater lakini ukiwa unapima kiasi cha kuwapa kwa siku husika.
Wiki ya 3 wape gramu 25
Wiki ya 4 wape gramu 31
Wiki ya 5 wape gramu 36
Wiki ya 6 wape gramu 41
Wiki ya 7 wape gramu 45
Wiki ya 8 wape gramu 49
Wiki hii ya 8 ni wiki ambayo unatakiwa kuanza kuwazowesha chakula cha grower mash kwa kuchanganya kiasi kidogo kidogo kwenye stater ya siku husika.
Mfano kama vifaranga wanakula kilo 5 kwa siku, changanya stater kg 4 na grower kg1. Endelea kuongeza grower na punguza stater mpaka itakapokuwa imeanza wiki ya 9, chakula chako kiwe ni grower mash pekee.
Ukiwalisha Vifaranga wako kwa utaratibu huu utaona matokeo ya ukuaji wao na jinsi ambavyo hawatakuwa wakishambuliwa na magonjwa.
Nikualike kwenye darasa la ufugaji wa kuku aina zote litakalo anza tarehe 10 mwezi wa 8, darasa linafanyika Mtandaoni kupitia group la what's app. Kujiunga na darasa hilo tuma 5,000 kwenye namba unayoiona kwenye screen 0656528455, kisha tuma meseji ya jina na namba yako ya what's app.
Видео JINSI YA KUWALISHA VIFARANGA WA KUKU WA KIENYEJI WAKUWE HARAKA канала Changamkia Fursa
Kuna baadhi ya Watu hawapendi kufuga kuku wa kienyeji kwa kusingizia kuwa wanachelewa kukuwa na vifaranga wa kienyeji wanashambuliwa sana na magonjwa, sasa kwenye kipindi cha leo nitakuelekeza jinsi kuwalisha vifaranga wa kuku wa kienyeji ili waepukane na magonjwa na wakue haraka uwahi kuwauza na upate faida.
Stay tuned
Tatizo kubwa la vifaranga vya kuku wa kienyeji kushambuliwa na magonjwa, kudumaa na kuchelewa Kukuwa ni chakula.
Wafugaji wengi wa kuku wa kienyeji huwapa kuku chakula ambacho sio mlo kamili (Balance Diet)
Mlo kamili (Balance Diet) ni chakula ambacho kinavirutubisho vyote muhimu kwaajili ya Kulinda mwili dhidi ya magonjwa, Kuupa mwili nguvu, kujenga mwili, kuupa mwili joto, kuimarisha mifupa na kusafisha na kurahisisha mifumo ya mwili kufanya kazi vizuri
Unaweza ukajiuliza ni vyakula gani hivyo ambavyo vinafanya kazi zote hizo mwilini?
Usipate shida, nitakufundisha kila kitu kwenye video hii. Chakufanya kama ndio mara ya kwanza kutazama video za channel hii basi Subscribe na kisha bonyeza alama ya kipengele itakayojitokeza, pia usisahau ku-Like na share ili Tuwafikie Wafugaji wengi. Vilevile unaweza kuuliza chochote kwenye comment na sisi tutakujibu.
Vyakula hivyo ambavyo huchanganywa na kukupa mlo kamili wa kuku wa kienyeji ni kama vifatavyo
Vyakula vya Kulinda mwili dhidi ya magonjwa ni Vitamin ambayo hutokana na Mimea kama Azolla, hydroponics, mchicha, Lucina na mimea yote ya kijani au unaweza kuchanganya ambayo imeandalia maalumu (premix)
Vyakula vya Kuupa mwili nguvu ni Carbohydrates/Wanga ambayo hutokana na nafaka kama mahindi, mtama, ngano, na pumba zote za nafaka
Vyakula vya kujenga mwili ni Protein ambayo hutokana na mashudu ya alizeti, karanga na pamba, Soya, Dagaa (Fishmeal) na damu ya wanyama iliyoandaliwa maalumu kwaajili ya chakula cha kuku
Vyakula vya kuupa mwili joto ni Fats/ Mafuta vyakula Vyenye mafuta kama Alize, karanga, pamba, nazi na mashudu ya vyote nilivyotaja
Vyakula vya Kuimarisha mifupa ni Madini mbalimbali ambayo hutokana na Unga wa mifupa ya wanyama na samaki na Chokaa kama Calcium, Iron, Phosphorus, Zinc n.k
Na Maji safi na salama, ambayo
Husafisha na kurahisisha mifumo ya mwili kufanya kazi vizuri
Vyakula vyote nilivyo taja vikichanganywa kwa utaratibu maalumu na kutengeneza Digestible Crude Protein (DCP) ya 18% - 20% chakula hicho kinaitwa stater/Chick Mash ambacho wanapewa vifaranga walio na umri wa siku 1 mpaka wiki 8 na wanatakiwa kulishwa kwa utaratibu maalumu .
Utaratibu wa kuwalisha vifaranga wa kienyeji ni kama ufatao.
Wiki ya 1 na 2 walishe chick stater bila kuwapimia, wape wale tuu kadri watakavyo chakula kikiisha kwenye feeder waongezee. Kufanya hivyo kutawasaidia kuimarisha kinga ya mwili ili kuwaepusha na magonjwa nyemelezi, kujenga mwili na vifaranga watakuwa kwa haraka.
Ukiweza kumudu gharama kwa kipindi hiki cha siku 14, walishe stater ya pillet vifaranga watakula chakula chote bila kubakisha na wataimarika kwa haraka sana.
Wiki ya 3 mpaka wiki ya 7, endelea kuwalisha Vifaranga stater lakini ukiwa unapima kiasi cha kuwapa kwa siku husika.
Wiki ya 3 wape gramu 25
Wiki ya 4 wape gramu 31
Wiki ya 5 wape gramu 36
Wiki ya 6 wape gramu 41
Wiki ya 7 wape gramu 45
Wiki ya 8 wape gramu 49
Wiki hii ya 8 ni wiki ambayo unatakiwa kuanza kuwazowesha chakula cha grower mash kwa kuchanganya kiasi kidogo kidogo kwenye stater ya siku husika.
Mfano kama vifaranga wanakula kilo 5 kwa siku, changanya stater kg 4 na grower kg1. Endelea kuongeza grower na punguza stater mpaka itakapokuwa imeanza wiki ya 9, chakula chako kiwe ni grower mash pekee.
Ukiwalisha Vifaranga wako kwa utaratibu huu utaona matokeo ya ukuaji wao na jinsi ambavyo hawatakuwa wakishambuliwa na magonjwa.
Nikualike kwenye darasa la ufugaji wa kuku aina zote litakalo anza tarehe 10 mwezi wa 8, darasa linafanyika Mtandaoni kupitia group la what's app. Kujiunga na darasa hilo tuma 5,000 kwenye namba unayoiona kwenye screen 0656528455, kisha tuma meseji ya jina na namba yako ya what's app.
Видео JINSI YA KUWALISHA VIFARANGA WA KUKU WA KIENYEJI WAKUWE HARAKA канала Changamkia Fursa
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
![](https://i.ytimg.com/vi/uWhTCmjxlKE/default.jpg)
![Jinsi ya Kuwalisha Kuku wa Kienyeji Wakuwe Haraka](https://i.ytimg.com/vi/CPIbqrqqVgs/default.jpg)
![Jinsi ya Kumlisha KUKU wa KIENYEJI Akue Haraka, Awe Mzito Uwahi Kumuuza Upate Faida Zaidi](https://i.ytimg.com/vi/qtVbt4KmGqI/default.jpg)
![Dawa Zote Muhimu Kwa Vifaranga Ili Wapite Wote Bila Vifo. Part 3 (Final)](https://i.ytimg.com/vi/YHUNlSGJQQc/default.jpg)
![ULEAJI WA VIFARANGA WA KIENYEJI KWA NJIA YA KISASA](https://i.ytimg.com/vi/2ylukSfYAgU/default.jpg)
![UJENZI WA BANDA BORA LA KUKU KIENYEJI | CHOTARA | MAYAI | NYAMA / BROILER](https://i.ytimg.com/vi/0XmXo-8o5DY/default.jpg)
![UCHANGANYAJI WA CHAKULA CHA KUKU | EASY HOMEMADE CHICKEN FEED FORMULA - Ep1](https://i.ytimg.com/vi/0FNPMLONGDE/default.jpg)
![SIRI YA KUKUZA VIFARANGA VYA KUKU WA KIENYEJI](https://i.ytimg.com/vi/TmCFP_24ChU/default.jpg)
![Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300](https://i.ytimg.com/vi/-4YrdBFVHUo/default.jpg)
![JINSI YA KUPATA KUKU 100 WA KIENYEJI KWA MIEZI 3 TU](https://i.ytimg.com/vi/AK7JIIGXjGY/default.jpg)
![Mafua ya Kuku (Infectious Coryza) - Kusafisha Jicho na Tiba](https://i.ytimg.com/vi/Ts0Xoe4V1Ww/default.jpg)
![Uleaji wa Vifaranga wa Kuku wa Kienyeji Kwa Njia ya Kisasa](https://i.ytimg.com/vi/Z-zc7HhJnrs/default.jpg)
![FAIDA 7 ZA VITUNGUU SAUMU KWA KUKU!!!](https://i.ytimg.com/vi/2UFuBrIJA-A/default.jpg)
![CHANJO YA VIFARANGA WA KIENYEJI](https://i.ytimg.com/vi/tpxMYnSF3S8/default.jpg)
![Njia Za Kupunguza Gharama Za Kulea Vifaranga Wa Kienyeji Mpaka 3%.](https://i.ytimg.com/vi/mCadTHigo9I/default.jpg)
![MAAJABU YA MKAA Katika Kutibu KUKU Wa KIENYEJI](https://i.ytimg.com/vi/wLF0Ww1sk-c/default.jpg)
![Nimeweza Kufuga Kuku wa Kienyeji Kibiashara, Usiache Kujaribu Hawa Kuku ni Biashara](https://i.ytimg.com/vi/ilOjIqwhTy8/default.jpg)
![Njia Rahisi ya Kutengeneza FUNZA wa kuwalisha Kuku wa Kienyeji Kwa Kutumia Pumba za Mahindi.](https://i.ytimg.com/vi/axAz6hh2JKE/default.jpg)
![Magonjwa ya Kuku wa Kienyeji na Jinsi ya Kutibu](https://i.ytimg.com/vi/fMWrQM_-hWM/default.jpg)
![SABABU 3 ZA KUKU WA KIENYEJI KUTOTOA VIFARANGA WACHACHE](https://i.ytimg.com/vi/sN1B2qOSATA/default.jpg)