EXCLUSIVE|| MSIGWA AFUNGUKA KUTAKA UBUNGE KUPITIA CCM, AGUSIA KUCHOMEWA NYUMBA YAKE, AMTAJA MBOWE
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Mwanachama mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa amesema kauli kwamba akihama Chadema na kwenda CCM nyumba na magari yake yachomwe moto ilikuwa katika mazingira tofauti na ya sasa.
Mchungaji Msigwa amesema hay oleo Jumatatu, Julai 1, 2024 alipozungumza na Mwananchi Digital ikiwa ni siku moja imepita tangu alipotangaza kujiunga CCM mbele ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam.
"Haihusiana na sasa, niliposema nikihama Chadema nyumba yangu ichomwe, nilizungumza hivi wakati ule wimbi la watu kuhama likifanyika tukiwa bado wabunge na wengine madiwani.
"Nilizungumza kwa maana kwamba nilikuwa nimepewa dhamana ya ubunge na ilikuwa lazima nimalize muda wa ubunge, wanaolitafsiri wakati huu wanalizungumza nje ya muktadha," amesema.
Видео EXCLUSIVE|| MSIGWA AFUNGUKA KUTAKA UBUNGE KUPITIA CCM, AGUSIA KUCHOMEWA NYUMBA YAKE, AMTAJA MBOWE канала Mwananchi Digital
Mwanachama mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa amesema kauli kwamba akihama Chadema na kwenda CCM nyumba na magari yake yachomwe moto ilikuwa katika mazingira tofauti na ya sasa.
Mchungaji Msigwa amesema hay oleo Jumatatu, Julai 1, 2024 alipozungumza na Mwananchi Digital ikiwa ni siku moja imepita tangu alipotangaza kujiunga CCM mbele ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam.
"Haihusiana na sasa, niliposema nikihama Chadema nyumba yangu ichomwe, nilizungumza hivi wakati ule wimbi la watu kuhama likifanyika tukiwa bado wabunge na wengine madiwani.
"Nilizungumza kwa maana kwamba nilikuwa nimepewa dhamana ya ubunge na ilikuwa lazima nimalize muda wa ubunge, wanaolitafsiri wakati huu wanalizungumza nje ya muktadha," amesema.
Видео EXCLUSIVE|| MSIGWA AFUNGUKA KUTAKA UBUNGE KUPITIA CCM, AGUSIA KUCHOMEWA NYUMBA YAKE, AMTAJA MBOWE канала Mwananchi Digital
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
![Hali ilivyo Soko la Kariakoo, baadhi ya wafanyabiashara wakifungua maduka baada ya kugoma siku tatu](https://i.ytimg.com/vi/Q2TwCTn3j-E/default.jpg)
![Wenje awavaa wanaomsifia Rais Samia, ataka maandamano kuahinikiza waliokula fedha wakamatwe](https://i.ytimg.com/vi/bOMIvlPlpDg/default.jpg)
![Shuhudia marais mbalimbali watua katika uwanja wa Uhuru | Miaka 60 ya Uhuru](https://i.ytimg.com/vi/2xs-yyHveiA/default.jpg)
![#LIVE: BUNGE LA KUMI NA MBILI MKUTANO WA 15 , 13 JUNI, 2024](https://i.ytimg.com/vi/4yA0YuY7GEM/default.jpg)
![Mwendo Kasi Gongo la mboto kuisha mwakani](https://i.ytimg.com/vi/scEjvXuN0SU/default.jpg)
![Beki kisiki kutoka Uarabuni kutambulishwa Simba, Mo Dewji amaliza mchezo](https://i.ytimg.com/vi/TRMp0UEI2rc/default.jpg)
![Mashabiki wa Yanga Afrika Kusini waliosafiri hadi Rustenburg kuja kuishangilia timu yao](https://i.ytimg.com/vi/ETBdSgqRJP4/default.jpg)
![Serikali kuanza kuwapa ardhi wananchi wenyeji wa Msomera Handeni](https://i.ytimg.com/vi/rRgBCMvKnJc/default.jpg)
![#LIVE: BUNGE LA KUMI NA MBILI MKUTANO WA 15 KIKAO CHA 55 TAREHE 27 JUNI, 2024](https://i.ytimg.com/vi/J5Ukt_UUia0/default.jpg)
![🔴 #EXCLUSIVE: Kipanya: Tunahitaji viongozi warefu wanaoona kesho, Afrika ni kama mtoto wa mwisho](https://i.ytimg.com/vi/bpuMLPj1d4w/default.jpg)
![Tazama Mbunge wa Kihaba Mjini Silyvestry Koka alichosema kwa Makamba bila uoga](https://i.ytimg.com/vi/19W_cHTV4Zc/default.jpg)
![UTEUZI, RAIS SAMIA AFANYA PANGA PANGUA BARAZA LA MAWAZIRI USIKU HUU, AMUONDOA KIDATA TRA](https://i.ytimg.com/vi/vaxCqp7URqg/default.jpg)
![SHUHUDIA UTAALAMU WA MADAKTARI MOI || WAFANIKIWA KUFIKIA UBONGO KUTIBU MATATIZO BILA KUFUMUA FUVU](https://i.ytimg.com/vi/OJXBNH7AR7k/default.jpg)
![MKE AELEZEA MUMEWE ALIVYOCHUKULIWA NA WATU WASIOJULIKANA, MDOGO MTU AFUNGUKA ANAYOPITIA](https://i.ytimg.com/vi/dgYkP6Ex4cg/default.jpg)
![Mashimba Ndaki aeleza haya Bungeni; akichangia Muswada ulioletwa na Mwigulu Bungeni](https://i.ytimg.com/vi/ZYKDlrkzqXk/default.jpg)
![TUMIA BANDARI YA KIPILI/IMARA NA YA KISASA/KIRANDO NI HATARI KWA USALAMA-TPA](https://i.ytimg.com/vi/yDqBdXXArQw/default.jpg)
![Kesi ya Ukahaba majibu ya shahidi yalivyoiudhi Mahakama akijibu 'hajui'](https://i.ytimg.com/vi/6klZH7bwac8/default.jpg)
![Said Makapu afichua siri za Yanga](https://i.ytimg.com/vi/mqCI8MRbGHo/default.jpg)
![Mpina asimamishwa kuhudhuria vikao 15 vya Bunge](https://i.ytimg.com/vi/4ht8oR26F0E/default.jpg)
![#Simulizi: Siri iliyotesa Maisha yangu - Sehemu 01](https://i.ytimg.com/vi/mOsa5OLKo6g/default.jpg)
![Mapya yaibuka sakata la Mchungaji Kimaro, chanzo chatajwa 'sio likizo ya kwanza'](https://i.ytimg.com/vi/mfNWNl4ZFYE/default.jpg)