Загрузка страницы

DC SABAYA ATANGAZA MWISHO WA MBOWE JIMBO LA HAI

Kampeni ya Manyara ya Kijani iliyoanzishwa na Umoja wa Vijana wa chama Chama Mapinduzi (UVCCM) imezinduliwa leo mjini Babati na Mwenyekiti wa Umoja huo Taifa Kheri James na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama hicho Bara na Visiwani.

Miongoni mwa viongozi waliopata nafasi ya Kuzungumza ni Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya ambaye amesema kipindi kilichopita kelele nyingi zilizokuwa zinapigwa na wapinzani ilikuwa ni wizi,ufisadi na Rushwa ambayo yote yamedhibitiwa na serikali ya awamu ya Tano na kumtumia Salamu Freeaman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa na Mbunge wa Jimbo la Hai kwamba 2020 ndo mwisho wake kuwa Mbunge wa jimbo hilo.

Видео DC SABAYA ATANGAZA MWISHO WA MBOWE JIMBO LA HAI канала Muungwana Tv
Показать
Комментарии отсутствуют
Введите заголовок:

Введите адрес ссылки:

Введите адрес видео с YouTube:

Зарегистрируйтесь или войдите с
Информация о видео
8 сентября 2019 г. 18:33:08
00:07:34
Яндекс.Метрика