- Популярные видео
- Авто
- Видео-блоги
- ДТП, аварии
- Для маленьких
- Еда, напитки
- Животные
- Закон и право
- Знаменитости
- Игры
- Искусство
- Комедии
- Красота, мода
- Кулинария, рецепты
- Люди
- Мото
- Музыка
- Мультфильмы
- Наука, технологии
- Новости
- Образование
- Политика
- Праздники
- Приколы
- Природа
- Происшествия
- Путешествия
- Развлечения
- Ржач
- Семья
- Сериалы
- Спорт
- Стиль жизни
- ТВ передачи
- Танцы
- Технологии
- Товары
- Ужасы
- Фильмы
- Шоу-бизнес
- Юмор
Bondia Terence Crawford atua Arusha, ataja anachotamani, TTB yatoa neno
TERENCE CRAWFORD: ".....natamani kuwaona Simba"
Bondia Terence Crawford kutoka Marekani muda huu yuko Arusha akiendelea na ziara yake yenye lengo la kutangaza utalii wa Tanzania.
Terence amesema amekoshwa na kila kitu alichokutana nacho Tanzania hadi sasa, huku akiwataja wanyama ambao anatamani kuwaona katika ziara hiyo.
Naye mwakilishi kutoka Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Paulin Mkama, ameeleza kuhusu ratiba kamili ya bondia huyo, maeneo yote atakayokwenda, na aina ya chakula atakachokula.
Mingoni mwa sifa za bondia huyo ni kwamba alikuwa bingwa wa dunia kwenye madaraja matano tofauti ya uzito.
Lakini pia aliwahi kumiliki mikanda mikubwa minne kwa wakati mmoja (undisputed champion) kwenye madaraja matatu ya uzito tofauti.
Mwaka jana, bondiaTerence Crawford alimpiga Canelo na kufikisha rekodi ya mapambano 42 ya ushindi bila kupoteza.
Kujua zaidi kuhusu ziara ya bondia huyu, usicheze mbali na Azam TV.
#Vitasa #Ndondi #TerenceCrawford #Ngumi
Видео Bondia Terence Crawford atua Arusha, ataja anachotamani, TTB yatoa neno канала Azam TV
Bondia Terence Crawford kutoka Marekani muda huu yuko Arusha akiendelea na ziara yake yenye lengo la kutangaza utalii wa Tanzania.
Terence amesema amekoshwa na kila kitu alichokutana nacho Tanzania hadi sasa, huku akiwataja wanyama ambao anatamani kuwaona katika ziara hiyo.
Naye mwakilishi kutoka Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Paulin Mkama, ameeleza kuhusu ratiba kamili ya bondia huyo, maeneo yote atakayokwenda, na aina ya chakula atakachokula.
Mingoni mwa sifa za bondia huyo ni kwamba alikuwa bingwa wa dunia kwenye madaraja matano tofauti ya uzito.
Lakini pia aliwahi kumiliki mikanda mikubwa minne kwa wakati mmoja (undisputed champion) kwenye madaraja matatu ya uzito tofauti.
Mwaka jana, bondiaTerence Crawford alimpiga Canelo na kufikisha rekodi ya mapambano 42 ya ushindi bila kupoteza.
Kujua zaidi kuhusu ziara ya bondia huyu, usicheze mbali na Azam TV.
#Vitasa #Ndondi #TerenceCrawford #Ngumi
Видео Bondia Terence Crawford atua Arusha, ataja anachotamani, TTB yatoa neno канала Azam TV
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
26 мая 2026 г. 14:02:56
00:04:58
Другие видео канала




















