Загрузка...

Serikali yaimarisha vituo vya karantini kukabiliana na tishio la Ebola

Serikali itaweka vituo vya karantini katika maeneo mbalimbali nchini ili kuzuia ugonjwa wa Ebola kuingia na kusambaa nchini. Katibu wa Afya ya Umma, Mary Muthoni, amesema kuwa kutengwa kwa wanaoshukiwa kuambukizwa virusi vya Ebola kutasaidia pakubwa kuzuia ugonjwa huo kusambaa. Ripoti zinaashiria kuwa visa vya ugonjwa wa Ebola katika Democratic Republic of the Congo vimefikia 452 baada ya watu 71 zaidi kuambukizwa na vifo 82 kuripotiwa. Nchini Uganda, maambukizi yamefikia 19 huku watu wawili wakifariki kutokana na Ebola.

Видео Serikali yaimarisha vituo vya karantini kukabiliana na tishio la Ebola канала Citizen TV Kenya
Яндекс.Метрика
Все заметки Новая заметка Страницу в заметки
Страницу в закладки Мои закладки
На информационно-развлекательном портале SALDA.WS применяются cookie-файлы. Нажимая кнопку Принять, вы подтверждаете свое согласие на их использование.
О CookiesНапомнить позжеПринять