Загрузка...

MWANAHARAKATI AGATHER ATUHAIRE AACHILIWA NA MAMLAKA ZA TANZANIA

Wakili na mtetezi wa haki za binadamu kutoka Uganda, Agather Atuhaire, ameachiliwa baada ya kuzuiliwa kwa siku kadhaa bila mawasiliano. Atuhaire, aliyekuwa kizuizini tangu Jumatatu, alitupwa katika mpaka wa Uganda na Tanzania siku moja tu baada ya mwanaharakati wa Kenya, Boniface Mwangi, pia kuachiliwa.

Видео MWANAHARAKATI AGATHER ATUHAIRE AACHILIWA NA MAMLAKA ZA TANZANIA канала K24TV
Яндекс.Метрика
Все заметки Новая заметка Страницу в заметки
Страницу в закладки Мои закладки
На информационно-развлекательном портале SALDA.WS применяются cookie-файлы. Нажимая кнопку Принять, вы подтверждаете свое согласие на их использование.
О CookiesНапомнить позжеПринять