RAIS SAMIA ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA, KUNENGE ATOLEWA DAR, MAKONGORO MANYARA
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
Rais Samia Suluhu Hassan amepangua wakuu wa mikoa na kuteua wapya akiwemo David Kafulila, Amos Makalla na Queen Sendiga ambaye aligombea urais katika uchaguzi mkuu mwaka 2020 kwa tiketi ya chama cha ADC.
Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Mei 15, 2021 na mkurugenzi wa mawasiliano ya rais Ikulu, Gerson Msigwa inaeleza kuwa wateule hao wataapishwa Ikulu, Dar es Salaam Mei 18, 2021.
Kafulila kada wa zamani wa NCCR-Mageuzi na Chadema ameteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha kuchukua nafasi ya Idd Kimanta aliyestaafu.
Kafulila aliyeanzisha safari yake ya siasa katika vyama vya upinzani, aliwahi kuwa mbunge wa Kigoma Kusini na baadaye kuteuliwa kuwa katibu tawala wa Mkoa wa Songwe ambako mwaka 2020 aliachia nafasi hiyo na kujitosa kuwania ubunge Kigoma Kusini kwa tiketi ya CCM lakini alianguka katika kura za maoni.
Katika uteuzi huo, Makalla ambaye amewahi kuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ameteuliwa tena kuwa mkuu wa mkoa huo kuchukua nafasi ya Aboubakar Kunenge aliyehamishiwa Pwani kuchukua nafasi ya Evarist Ndikilo ambaye amestaafu.
Queen ameteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa wa Iringa kuchukua nafasi ya Ali Hapi aliyehamishiwa Tabora huku Rosemary Senyamule akiteuliwa kuuongoza Mkoa wa Geita akichukua nafasi ya Robert Gabriel aliyehamishiwa Mara kuendelea na wadhifa huo.
HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc
HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx
HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R
HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW
Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars
Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars
Twitter: https://twitter.com/Kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
Видео RAIS SAMIA ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA, KUNENGE ATOLEWA DAR, MAKONGORO MANYARA канала KidaniStars
Rais Samia Suluhu Hassan amepangua wakuu wa mikoa na kuteua wapya akiwemo David Kafulila, Amos Makalla na Queen Sendiga ambaye aligombea urais katika uchaguzi mkuu mwaka 2020 kwa tiketi ya chama cha ADC.
Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Mei 15, 2021 na mkurugenzi wa mawasiliano ya rais Ikulu, Gerson Msigwa inaeleza kuwa wateule hao wataapishwa Ikulu, Dar es Salaam Mei 18, 2021.
Kafulila kada wa zamani wa NCCR-Mageuzi na Chadema ameteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha kuchukua nafasi ya Idd Kimanta aliyestaafu.
Kafulila aliyeanzisha safari yake ya siasa katika vyama vya upinzani, aliwahi kuwa mbunge wa Kigoma Kusini na baadaye kuteuliwa kuwa katibu tawala wa Mkoa wa Songwe ambako mwaka 2020 aliachia nafasi hiyo na kujitosa kuwania ubunge Kigoma Kusini kwa tiketi ya CCM lakini alianguka katika kura za maoni.
Katika uteuzi huo, Makalla ambaye amewahi kuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ameteuliwa tena kuwa mkuu wa mkoa huo kuchukua nafasi ya Aboubakar Kunenge aliyehamishiwa Pwani kuchukua nafasi ya Evarist Ndikilo ambaye amestaafu.
Queen ameteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa wa Iringa kuchukua nafasi ya Ali Hapi aliyehamishiwa Tabora huku Rosemary Senyamule akiteuliwa kuuongoza Mkoa wa Geita akichukua nafasi ya Robert Gabriel aliyehamishiwa Mara kuendelea na wadhifa huo.
HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc
HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx
HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R
HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW
Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars
Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars
Twitter: https://twitter.com/Kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
Видео RAIS SAMIA ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA, KUNENGE ATOLEWA DAR, MAKONGORO MANYARA канала KidaniStars
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
Mazoezi ya Viungo Yanga Usipime, Kocha AwabanaJIMMY KINDOKI ALIKATAA GOLI LA SIMBA LA UTATA /SIKIA TAMBO ZA KUFA MTUMSIKIE MCHEZAJI WA SIMBA BAADA YA KUWA MFUNGAJI BORA LIGI YA WANAWAKE 2021/22Rais Samia Amuapisha Pereira Silima Kuwa Balozi wa ComoroUSAJILI: Kiungo Mkenya amalizana na YangaONA WALICHOKIFANYA FEI TOTO, SURE BOY, SAMATTA MAZOEZINI STARS WAKIJINDAA NA ALGERIAMHE.ABAS TARIMBA ATAMBA NA USHINDI WA YANGA DHIDI YA ZALAN FCMtanzania Anayecheza DC United ya Marekani Afunguka UsiyoyajuaALIKAMWE AWASILI NA KUICHAMBUA YANGA KIMATAIFA/ATANGAZA JAMBO ZITODAAH! MWINYI ZAHERA AMCHAMBUA AZIZI KI AFUNGUKA MAZITO KWA CHICCO USHINDIYANGA WAMTAMBULISHA AZIZ KIALLY MAYAY: ALLY KAMWE ANATOSHA AFISA HABARI YANGA/ATAJA SIFA ZAKE NA AICHAMBUA YANGAALI KAMWE AICHAMBUA YANGA ATEMA SHOMBO BAADA YA KUWAFUNGA RUVUUtacheka mashabiki wa Yanga baada ya kuifunga Geita GoldHASSAN BUMBULI ATEMA SHOMBO ACHAMBUA BAO NNE ZA YANGATHOMAS ULUMWENGU AFUNGUKA KUCHEZA NA SIMBA KWENYE SIMBA SUPER CUPDOKII Afunguka YANGA Mpya "Tumejipanga Kuchukua Ubingwa Msimu Huu"Alichokisema Antonio Nugaz Amtetea Kocha Kaze, Awatuliza MashabikiONA KABWILI AFIKA KUSHANGILIA UBINGWA /AIPONGEZA YANGAUTAPENDA!! TAMBO ZA SIMBA ULAYA BAADA USHINDI DHIDI YA PAMBA FCMasau Bwire: Mzigo Ulikuwa Mkubwa...Meli Imezama!!