Pendekezo la 'one man, one shilling' lapingwa Samburu
Mdahalo wa ugavi wa mapato ya kitaifa unaendelea kuibua hisia mbalimbali huku jamii za wafugaji kutoka maeneo kame nchini zikipinga pendekezo kuwa mapato yagawanywe kwa kuzingatia idadi ya watu katika kila kaunti. Jamii hizo zinasema kuwa mfumo huo utasababisha maeneo yao kuendelea kusalia nyuma kimaendeleo huku wakisisitiza kuwa takwimu za kitaifa kuhusu idadi ya watu sio sahihi. wafugaji wanapendekeza mfumo wa kuzingatia ukubwa wa eneo .
Видео Pendekezo la 'one man, one shilling' lapingwa Samburu канала Citizen TV Kenya
Видео Pendekezo la 'one man, one shilling' lapingwa Samburu канала Citizen TV Kenya
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
Learning paralysed in all public universitiesMasomo katika vyuo vikuu vya umma yasitishwaState of the Nation | Learning paralysed in varsities as lecturers over payment woesMPs approve Douglas Kanja for position of the I.GIndependent Policing Oversight Authority investigates use of excessive force on quelling studentsWahadhiri wa vyuo vikuu wamegoma kwa siku ya piliDP Gachagua rubbishes claims of bullying MPs: ‘I’m just a truthful person!’Residents of Loresho want the government to intervene on their behalf against illegal land grabbingKaikai's Kicker on Police Brutality- Good luck, Bwana IG Kanja, your hands are fullBata Shoe Company marks its anniversary by distributing school shoes and sanitary pads to studentsSiha na Maumbile |Tunaangazia virusi vya HPV vinavyosababisha SarataniIPOA, Civil Society condemns police brutality against MMU studentsJudges association wants convicted Acting Police IG Masengeli to apologiseJoint memorial service held for 11 Bangla accident victimsProgramu za chuo kikuu cha NairobiCS Opiyo Wandayi pledges to ensure realisation of the last mile connectivityKilimo Biashara | Wadau wa sekta ya kilimo watoa uhamasisho wa kilimo mamboleo19 year old Ezekiel Sakwa denies killing four women in RongaiMahakama kuu yaamua kuwa hazina ya NG-CDF imekiuka katibaKenya's Gold | DJ Tee Boy as a potato farmer - Agri StarSix children killed by a speeding probox in Kitui laid to rest