Mchungaji Msigwa awajibu ‘wanaosema nyumba, gari lake lichomwe moto’
Mwanachama mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa amesema kauli kwamba akihama Chadema kwenda CCM nyumba na magari yake yachomwe moto aliitoa katika mazingira tofauti na ya sasa.
Mchungaji Msigwa amesema hayo leo Jumatatu, Julai mosi, 2024 alipozungumza na Mwananchi Digital, ikiwa ni siku moja tangu alipotangazwa kujiunga CCM mbele ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam.
"Kauli ile haihusiana na sasa, niliposema nikihama Chadema nyumba yangu ichomwe, nilizungumza vile wakati ule wimbi la watu kuhama likifanyika tukiwa bado wabunge na wengine madiwani.
"Nilizungumza kwa maana kwamba nilikuwa nimepewa dhamana ya ubunge na ilikuwa lazima nimalize muda wa ubunge, wanaolitafsiri wakati huu wanalizungumza nje ya muktadha," amesema.
Mchungaji Msigwa amezunguza mengi. Kushindwa kwake uchaguzi, Je kuingia CCM kutambadilisha? Haya na mengine Ingia www.mwananchi.co.tz
(Imeandikwa na Imani Makongoro)
Видео Mchungaji Msigwa awajibu ‘wanaosema nyumba, gari lake lichomwe moto’ канала Mwananchi Digital
Mchungaji Msigwa amesema hayo leo Jumatatu, Julai mosi, 2024 alipozungumza na Mwananchi Digital, ikiwa ni siku moja tangu alipotangazwa kujiunga CCM mbele ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam.
"Kauli ile haihusiana na sasa, niliposema nikihama Chadema nyumba yangu ichomwe, nilizungumza vile wakati ule wimbi la watu kuhama likifanyika tukiwa bado wabunge na wengine madiwani.
"Nilizungumza kwa maana kwamba nilikuwa nimepewa dhamana ya ubunge na ilikuwa lazima nimalize muda wa ubunge, wanaolitafsiri wakati huu wanalizungumza nje ya muktadha," amesema.
Mchungaji Msigwa amezunguza mengi. Kushindwa kwake uchaguzi, Je kuingia CCM kutambadilisha? Haya na mengine Ingia www.mwananchi.co.tz
(Imeandikwa na Imani Makongoro)
Видео Mchungaji Msigwa awajibu ‘wanaosema nyumba, gari lake lichomwe moto’ канала Mwananchi Digital
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
![Hali ilivyo Soko la Kariakoo, baadhi ya wafanyabiashara wakifungua maduka baada ya kugoma siku tatu](https://i.ytimg.com/vi/Q2TwCTn3j-E/default.jpg)
![Shuhudia marais mbalimbali watua katika uwanja wa Uhuru | Miaka 60 ya Uhuru](https://i.ytimg.com/vi/2xs-yyHveiA/default.jpg)
![#LIVE: BUNGE LA KUMI NA MBILI MKUTANO WA 15 , 13 JUNI, 2024](https://i.ytimg.com/vi/4yA0YuY7GEM/default.jpg)
![Mwendo Kasi Gongo la mboto kuisha mwakani](https://i.ytimg.com/vi/scEjvXuN0SU/default.jpg)
![Beki kisiki kutoka Uarabuni kutambulishwa Simba, Mo Dewji amaliza mchezo](https://i.ytimg.com/vi/TRMp0UEI2rc/default.jpg)
![Mashabiki wa Yanga Afrika Kusini waliosafiri hadi Rustenburg kuja kuishangilia timu yao](https://i.ytimg.com/vi/ETBdSgqRJP4/default.jpg)
![Serikali kuanza kuwapa ardhi wananchi wenyeji wa Msomera Handeni](https://i.ytimg.com/vi/rRgBCMvKnJc/default.jpg)
![#LIVE: BUNGE LA KUMI NA MBILI MKUTANO WA 15 KIKAO CHA 55 TAREHE 27 JUNI, 2024](https://i.ytimg.com/vi/J5Ukt_UUia0/default.jpg)
![🔴 #EXCLUSIVE: Kipanya: Tunahitaji viongozi warefu wanaoona kesho, Afrika ni kama mtoto wa mwisho](https://i.ytimg.com/vi/bpuMLPj1d4w/default.jpg)
![MKE AELEZEA MUMEWE ALIVYOCHUKULIWA NA WATU WASIOJULIKANA, MDOGO MTU AFUNGUKA ANAYOPITIA](https://i.ytimg.com/vi/dgYkP6Ex4cg/default.jpg)
![TUMIA BANDARI YA KIPILI/IMARA NA YA KISASA/KIRANDO NI HATARI KWA USALAMA-TPA](https://i.ytimg.com/vi/yDqBdXXArQw/default.jpg)
![Kesi ya Ukahaba majibu ya shahidi yalivyoiudhi Mahakama akijibu 'hajui'](https://i.ytimg.com/vi/6klZH7bwac8/default.jpg)
![Said Makapu afichua siri za Yanga](https://i.ytimg.com/vi/mqCI8MRbGHo/default.jpg)
![Mpina asimamishwa kuhudhuria vikao 15 vya Bunge](https://i.ytimg.com/vi/4ht8oR26F0E/default.jpg)
![Mapya yaibuka sakata la Mchungaji Kimaro, chanzo chatajwa 'sio likizo ya kwanza'](https://i.ytimg.com/vi/mfNWNl4ZFYE/default.jpg)
![Maisha ya Afande Sele, mjengo wake huu hapa amtengenezea Rais Samia, Magufuli maeneo, ataja sababu](https://i.ytimg.com/vi/D7f66yiNcig/default.jpg)
![NANI MTEKAJI? WADAU WAHOJI MATUKIO MAZITO YA UTEKAJI NCHINI,WENGINE MPAKA SASA HAWAJULIKANI WALIPO](https://i.ytimg.com/vi/2tuOaBLJk88/default.jpg)
![Angalizo matumizi holela vipimo vya Ukimwi, watu wafunguka wanavyowapima wapenzi wao](https://i.ytimg.com/vi/eqArUHuE3dg/default.jpg)
![Ripoti Maalumu|| Uvutaji gundi unavyoweka rehani maisha ya watoto wa mtaani, Vijana](https://i.ytimg.com/vi/Mxo6j3G9rQ0/default.jpg)
![Mwandamizi: Aweka wazi sababu za Chama kuachana na Simba, ataja watakaopewa Thank You Yanga.](https://i.ytimg.com/vi/8JOAwg8ilfM/default.jpg)
![Sekeseke la mgomo wa Wafanyabiashara Mwanza, wadaiwa kukacha kikao na RC Mtanda](https://i.ytimg.com/vi/pf4AnJd3Oxg/default.jpg)