Wakazi wa Chesumei wakarabati daraja la Samoo lililoharibiwa na mafuriko
Wakazi wa Tuyobei, Kamurguywo na Samoo katika eneo bunge la Chesumei Kaunti ya Nandi wameungana kukarabati daraja la samoo ambalo liliharibiwa na mvua na kuwacha wakazi bila daraja.
Wakazi hao waliojihami kwa vifaa mbalimbali walitumia mchanga kufunika shimo kubwa kwenye daraja la samoo Ili kuwawezesha kusafiri bila matatizo . Wakaazi hao walilaumu viongozi wa eneo hilo na kusema kuwa wamewatelekeza licha ya barabara hiyo kutumiwa na wakulima,wafanyabiashara na wote wanaotafuta huduma mbalimbali mjini Kapsabet.
Видео Wakazi wa Chesumei wakarabati daraja la Samoo lililoharibiwa na mafuriko канала Citizen TV Kenya
Wakazi hao waliojihami kwa vifaa mbalimbali walitumia mchanga kufunika shimo kubwa kwenye daraja la samoo Ili kuwawezesha kusafiri bila matatizo . Wakaazi hao walilaumu viongozi wa eneo hilo na kusema kuwa wamewatelekeza licha ya barabara hiyo kutumiwa na wakulima,wafanyabiashara na wote wanaotafuta huduma mbalimbali mjini Kapsabet.
Видео Wakazi wa Chesumei wakarabati daraja la Samoo lililoharibiwa na mafuriko канала Citizen TV Kenya
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
JKLIVE | Climate Change and Green Cooling [Part 1]CS Chirchir speaks on the proposal between Adani Energy and KETRACOKey witness in the case against Mandago questioned on failing to honor the summonsGovernment pathologists conducting victims’ autopsiesWenye hisa wa kampuni ya Directline waamua kusitisha utoaji bimaBaraza la wazee wa kaunti ya Lamu kupinga umilikaji wa eneo la Daresalam point na Kaunti ya GarissaZaidi ya vijana 750 eneo la Dongo Kundu kupokea mafunzo ya kiufundiKenya yashindania ujuziKiongozi wa wengi katika bunge la kaunti ya Nakuru Alex Lang'at atimuliwa mamlakaniPART 1: SHAJARA NA RASHID.SIMULIZI YA SELINA NAMOE NMUMEWE ALIUWAWA NA KUVAMIWA NA MAJANGILI TURKANAWanafunzi sita wamefariki kwenye ajali ya barabarani katika barabara ya Kitui kuelekea kibwezi.President Ruto signs Kenya-Germany agreement on migrationWasafiri wa ndege wa Moi, Kisumu, Eldoret walitatizika kwenye safari zaoWaziri wa uchukuzi Davis Chirchir kuwasilisha stakabadhi za kandarasiViongozi wa eneo la kati wajitenga na Naibu Rais huku wakimtangaza Waziri Kindiki kama kiongozi wao.Airport workers suspend strike after talks with governmentGachagua awataka wanasiasa kuacha siasa zisizo na msingiPresident Ruto: Germany was the first country to recognize Kenya's independenceThousands stranded at JKIA due to airport workers’ strikeKILIO CHA NUNI SOUD ALI KWA WAKENYA NA WAHIFADHI WEMAPolice break into activist Booker Omole’s home days after ejecting him from a Beijing-bound plane