Загрузка...

MAANDAMANO YA IRAN JIJINI HAMBURG UJERUMANI WAPINGA UTAWALA WA IRAN

Wa-Iran waishio jijini Hamburg nchini Ujerumani, June 13 wamefanya maandamano ya amani katika eneo la wazi la jiji pa Hamburg (Hamburg City Square) kupinga utawala wa Iran na sera zake huku wakishinikiza utawala huo uachie madaraka. Katika maandamano hayo, wananchi hai wa Iran walionekana kuinua bendera ya Iran pamoja na mabango yenye ujumbe tofauti lakini cha kushangaza zaidi, baadhi walionekana wakiwa na bendera za Marekani na Israel kuashilia uungaji mkono wa mashambalio yanayofanywa na Marekani kwa kushirikiana na Israel. Askari wa jeshi la polisi hapa Ujerumani walikuwepo katika maandamano hayo wakihakilisha usalama na utulivu unatawala. Mmoja wa askari hao ambaye hakutaka jina lake litajwe, alisema, “tuko hapa kuhakikisha amani inatawala mpaka mwisho wa maandamano”

#middleeast #iranwar #isrealattack #usaattack #middleeastconflict

Видео MAANDAMANO YA IRAN JIJINI HAMBURG UJERUMANI WAPINGA UTAWALA WA IRAN канала SQF TV
Яндекс.Метрика
Все заметки Новая заметка Страницу в заметки
Страницу в закладки Мои закладки
На информационно-развлекательном портале SALDA.WS применяются cookie-файлы. Нажимая кнопку Принять, вы подтверждаете свое согласие на их использование.
О CookiesНапомнить позжеПринять