Jamaa wa Miaka 38 Atengeneza Gari la Aina Yake
Kutana na jamaa mwenye umri wa miaka 38 kwa jina Joseph Gitit Ndirangu kutoka eneo la Pwani katika eneo bunge la Njoro kaunti ya Nakuru. Yuko katika pilkapilka za mwisho za kuunda gari lake akitumia injini ya pikipiki. Gari lenyewe, ni la aina ya Land Rover, analopania litamsaidia kuendeleza biashara yake. Yeye ni baba ya watoto wanane, na si mara ya kwanza kujaribu kuwa mbunifu, amewahi jaribu pia kuunda helikopta.
Видео Jamaa wa Miaka 38 Atengeneza Gari la Aina Yake канала K24 TV
Видео Jamaa wa Miaka 38 Atengeneza Gari la Aina Yake канала K24 TV
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
![| AKILI MALI | Moses Shikuku na Antony Waliaro wabuni gari](https://i.ytimg.com/vi/eUQCJY-RJac/default.jpg)
![Young inventor attempted to fly an aircraft he had built at home in Kiambu county.](https://i.ytimg.com/vi/4s0TdwO4Z6s/default.jpg)
![DUUH! HUU UBUNIFU NOMAA! MEENA ALLY NDANI YA KIBANDA WAZI/GARI ILIYOTENGENEZWA NA MTANZANIA.](https://i.ytimg.com/vi/d7J_J_N_wT8/default.jpg)
![Nakuru man assembles an engine-run toy car || My Job](https://i.ytimg.com/vi/YzTGNt3Lr4Y/default.jpg)
![Mgaa Gaa na Upwa: Gari ya Baiskeli](https://i.ytimg.com/vi/HdqlrJh5ubU/default.jpg)
![| AKILI MALI | Brian Kimani atengeza roboti ya kutegua mabomu ya ardhini](https://i.ytimg.com/vi/X6MC6SdxK_g/default.jpg)
![HII NDIYO HELIKOPTA ILIYOUNDWA ZANZIBAR](https://i.ytimg.com/vi/AbzJj8IBky0/default.jpg)
![BAJAJI ya kwanza kutengenezwa na Mtanzania "imekosa kibali'](https://i.ytimg.com/vi/sbdL6vb4LCI/default.jpg)
![Mwanaume aunda gari lake nchini Tanzania](https://i.ytimg.com/vi/s19RcNRDb8Q/default.jpg)
![800HP Incredible Subaru Engine Build Part 4 *Finish* l Subi-Performance](https://i.ytimg.com/vi/CNNV-_an-Qw/default.jpg)
![Ubunifu wa kijana huyu anayekusanya pikipiki mbovu na kuzifufua kisha kuziuza | Jinsi alivyoanza](https://i.ytimg.com/vi/bdIT52-RVPk/default.jpg)
![Gari la Mahindra linalotumia mafuta ya kupikia badala ya petroli](https://i.ytimg.com/vi/mXFlklU6Pb0/default.jpg)
![Man uses cooking oil as fuel for his vehicle in Nakuru](https://i.ytimg.com/vi/CNdFFDgmemo/default.jpg)
![Vijana waunda magari Laikipia](https://i.ytimg.com/vi/x2v5lu9SDqo/default.jpg)
![| AKILI MALI | wanafunzi wa RVTTI wabuni mashine ya kupanda mahindi](https://i.ytimg.com/vi/DQ65rzx9YqI/default.jpg)
![ALIETENGENEZA HELIKOPTA YAKE, AMEBUNI GEREJI INAYOTEMBEA NCHI MBILI](https://i.ytimg.com/vi/QvdwciNOMdE/default.jpg)
![Wasiotambulika : Kutana na mkenya mvumbuzi wa gari refu la kifahari nchini Kenya](https://i.ytimg.com/vi/p79g8f6vVaE/default.jpg)
![KUTANA NA KIJANA WA DARASA LA SABA ALIYEUNDA HELIKOPTA](https://i.ytimg.com/vi/C2hyjhszqwM/default.jpg)
![Focus on Nyeri’s ‘Robot Man’ #FridayNight](https://i.ytimg.com/vi/50w4Q04Q5yc/default.jpg)
![Mariga Car Impounded](https://i.ytimg.com/vi/CG20uC1dhjE/default.jpg)