Загрузка...

Gachagua amtetea Uhuru, akosoa siasa za chuki

Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua amemtetea Rais mstaafu Uhuru Kenyatta akisema kuwa kustaafu kwake hakumaanishi kwamba hafai kuzungumzia masuala ya kitaifa.

Akizungumza katika Kaunti ya Nakuru County alipohudhuria ibada ya wafu, Gachagua aliwataka viongozi wa chama cha UDA kukoma kumshambulia Uhuru ili kuficha kile alichokitaja kama utendaji duni wa serikali.

Pia amewakosoa wanasiasa wanaoeneza siasa za chuki na ukabila, akionya kuwa matamshi yao yanahatarisha usalama wa kitaifa.

Видео Gachagua amtetea Uhuru, akosoa siasa za chuki канала Citizen TV Kenya
Яндекс.Метрика
Все заметки Новая заметка Страницу в заметки
Страницу в закладки Мои закладки
На информационно-развлекательном портале SALDA.WS применяются cookie-файлы. Нажимая кнопку Принять, вы подтверждаете свое согласие на их использование.
О CookiesНапомнить позжеПринять