Загрузка...

Laki sita za diwani zilipolipia upasuaji na kuokoa maisha ya mkazi wa Zingiziwa, Dar es Salaam

Baada ya kuishi na uvimbe tumboni kwa miaka sita, mkazi wa Kata ya Zingiziwa, Dar es Salaam, Lusiana Hendrick amefanikiwa kufanyiwa upasuaji ulioshuhudia kilo 10 za uvimbe zikitolewa tumboni mwake.

Kufuatia kufanyiwa upasuaji huo, Lusiana anatuma salamu za shukrani kwa aliyemsaidia kumudu gharama za upasuaji huo, Diwani wa Zingiziwa, Selemani Kaniki.

Msikilize….

“Utu ni Wema na Wema ni Utu”.

Видео Laki sita za diwani zilipolipia upasuaji na kuokoa maisha ya mkazi wa Zingiziwa, Dar es Salaam канала UTV Tanzania
Яндекс.Метрика
Все заметки Новая заметка Страницу в заметки
Страницу в закладки Мои закладки
На информационно-развлекательном портале SALDA.WS применяются cookie-файлы. Нажимая кнопку Принять, вы подтверждаете свое согласие на их использование.
О CookiesНапомнить позжеПринять