Wananchi Mbeya wahaha huduma ya maji, wanawake wahofia usalama wao
Mbeya. Wananchi wa mitaa ya Mponzi, Sinde, Chaula na Makunguru jijini Mbeya wameendelea kusotea huduma ya maji kwa zaidi ya miezi miwili tangu kukatika kwake, huku wanawake wakielelezea hofu yao kiusalama wanapoamka usiku kutafuta huduma hiyo.
Huduma hiyo ambayo ilipotea tangu Machi mwaka huu kwa baadhi ya maeneo, haijarejea tena na kufanya wakazi wa maeneo hayo katika Kata za Isanga, Ilemi na Ilolo kukosa maji na kusababisha adha kwa wananchi hao.
Kwa sasa wananchi huamka kati ya saa 10 hadi 11 alfajiri kutafuta huduma hiyo ambapo kimbilio kubwa imebaki kuwa chanzo cha Afrika ambapo asilimia ya wengi hupata msaada hapo, wengine wakitumia maji ya visima vya kuchimba ambayo si salama kwa afya.
Hata hivyo, tangu Mwananchi Digital kuripoti changamoto hiyo, Juni 10, mwaka huu mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya (Mbeya Uwssa) walikiri uwapo wa tatizo hilo ikiahidi kufanyia kazi ikisema kwa sasa upo mgao.
Mwananchi imefika katika baadhi ya maeneo ambayo ni kimbilio kwa wananchi kupata maji ikiwamo chanzo cha maji Afrika na visimani na kushuhuhudia foleni ya wananchi wakiwamo watoto wadogo wakihangaika kupata huduma hiyo.
Wakizungumza leo Juni 28, baadhi ya wananchi wamesema tangu kukatika maji mwezi Machi, wamekuwa katika wakati mgumu ikiwamo kuamka nyakati za usiku wakisema hawajaona utekelezaji wa kumtua mwanamke ndoo kichwani.
Видео Wananchi Mbeya wahaha huduma ya maji, wanawake wahofia usalama wao канала Mwananchi Digital
Huduma hiyo ambayo ilipotea tangu Machi mwaka huu kwa baadhi ya maeneo, haijarejea tena na kufanya wakazi wa maeneo hayo katika Kata za Isanga, Ilemi na Ilolo kukosa maji na kusababisha adha kwa wananchi hao.
Kwa sasa wananchi huamka kati ya saa 10 hadi 11 alfajiri kutafuta huduma hiyo ambapo kimbilio kubwa imebaki kuwa chanzo cha Afrika ambapo asilimia ya wengi hupata msaada hapo, wengine wakitumia maji ya visima vya kuchimba ambayo si salama kwa afya.
Hata hivyo, tangu Mwananchi Digital kuripoti changamoto hiyo, Juni 10, mwaka huu mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya (Mbeya Uwssa) walikiri uwapo wa tatizo hilo ikiahidi kufanyia kazi ikisema kwa sasa upo mgao.
Mwananchi imefika katika baadhi ya maeneo ambayo ni kimbilio kwa wananchi kupata maji ikiwamo chanzo cha maji Afrika na visimani na kushuhuhudia foleni ya wananchi wakiwamo watoto wadogo wakihangaika kupata huduma hiyo.
Wakizungumza leo Juni 28, baadhi ya wananchi wamesema tangu kukatika maji mwezi Machi, wamekuwa katika wakati mgumu ikiwamo kuamka nyakati za usiku wakisema hawajaona utekelezaji wa kumtua mwanamke ndoo kichwani.
Видео Wananchi Mbeya wahaha huduma ya maji, wanawake wahofia usalama wao канала Mwananchi Digital
Показать
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
Другие видео канала
![Hali ilivyo Soko la Kariakoo, baadhi ya wafanyabiashara wakifungua maduka baada ya kugoma siku tatu](https://i.ytimg.com/vi/Q2TwCTn3j-E/default.jpg)
![Wenje awavaa wanaomsifia Rais Samia, ataka maandamano kuahinikiza waliokula fedha wakamatwe](https://i.ytimg.com/vi/bOMIvlPlpDg/default.jpg)
![Shuhudia marais mbalimbali watua katika uwanja wa Uhuru | Miaka 60 ya Uhuru](https://i.ytimg.com/vi/2xs-yyHveiA/default.jpg)
![Mwendo Kasi Gongo la mboto kuisha mwakani](https://i.ytimg.com/vi/scEjvXuN0SU/default.jpg)
![Beki kisiki kutoka Uarabuni kutambulishwa Simba, Mo Dewji amaliza mchezo](https://i.ytimg.com/vi/TRMp0UEI2rc/default.jpg)
![Mashabiki wa Yanga Afrika Kusini waliosafiri hadi Rustenburg kuja kuishangilia timu yao](https://i.ytimg.com/vi/ETBdSgqRJP4/default.jpg)
![Serikali kuanza kuwapa ardhi wananchi wenyeji wa Msomera Handeni](https://i.ytimg.com/vi/rRgBCMvKnJc/default.jpg)
![🔴 #EXCLUSIVE: Kipanya: Tunahitaji viongozi warefu wanaoona kesho, Afrika ni kama mtoto wa mwisho](https://i.ytimg.com/vi/bpuMLPj1d4w/default.jpg)
![Tazama Mbunge wa Kihaba Mjini Silyvestry Koka alichosema kwa Makamba bila uoga](https://i.ytimg.com/vi/19W_cHTV4Zc/default.jpg)
![Mahakama yaionya Serikali kesi ya madai ya ukahaba](https://i.ytimg.com/vi/YhR-auhn6o4/default.jpg)
!['Ma - hustlers' Kenya wanavyomkomalia Ruto kwa kuwasaliti, ndege aliyosafiria kwenda Marekani](https://i.ytimg.com/vi/IIGe7BILgxY/default.jpg)
![SHUHUDIA UTAALAMU WA MADAKTARI MOI || WAFANIKIWA KUFIKIA UBONGO KUTIBU MATATIZO BILA KUFUMUA FUVU](https://i.ytimg.com/vi/OJXBNH7AR7k/default.jpg)
![Taarifa ya Yusuf Manji iliyotufikia muda huu, mtoto wake afunguka..](https://i.ytimg.com/vi/U0P_xthY4-g/default.jpg)
![Mashimba Ndaki aeleza haya Bungeni; akichangia Muswada ulioletwa na Mwigulu Bungeni](https://i.ytimg.com/vi/ZYKDlrkzqXk/default.jpg)
![TUMIA BANDARI YA KIPILI/IMARA NA YA KISASA/KIRANDO NI HATARI KWA USALAMA-TPA](https://i.ytimg.com/vi/yDqBdXXArQw/default.jpg)
![Said Makapu afichua siri za Yanga](https://i.ytimg.com/vi/mqCI8MRbGHo/default.jpg)
![YALIYOJIRI KIJIWE CHA MWANASPOTI LEO, MASHABIKI WAVUTANA KUHUSU CHAMA, ABAKI, AENDE?](https://i.ytimg.com/vi/5kq43DcmBkI/default.jpg)
![#Simulizi: Siri iliyotesa Maisha yangu - Sehemu 01](https://i.ytimg.com/vi/mOsa5OLKo6g/default.jpg)
![Mapya yaibuka sakata la Mchungaji Kimaro, chanzo chatajwa 'sio likizo ya kwanza'](https://i.ytimg.com/vi/mfNWNl4ZFYE/default.jpg)
![Maisha ya Afande Sele, mjengo wake huu hapa amtengenezea Rais Samia, Magufuli maeneo, ataja sababu](https://i.ytimg.com/vi/D7f66yiNcig/default.jpg)