- Популярные видео
- Авто
- Видео-блоги
- ДТП, аварии
- Для маленьких
- Еда, напитки
- Животные
- Закон и право
- Знаменитости
- Игры
- Искусство
- Комедии
- Красота, мода
- Кулинария, рецепты
- Люди
- Мото
- Музыка
- Мультфильмы
- Наука, технологии
- Новости
- Образование
- Политика
- Праздники
- Приколы
- Природа
- Происшествия
- Путешествия
- Развлечения
- Ржач
- Семья
- Сериалы
- Спорт
- Стиль жизни
- ТВ передачи
- Танцы
- Технологии
- Товары
- Ужасы
- Фильмы
- Шоу-бизнес
- Юмор
RASMI: SELASINI ARUDI CHADEMA AIKACHA NCCR-MAGEUZI✌️ #shortsviral #chadema #nccrmageuzi #globaltv
Kada wa Chama cha NCCR Mageuzi ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Joseph Selasin ametangaza kuamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Selasin ametoa taarifa hiyo leo Ijumaa ya Machi 22, 2026 akiwa jijini Arusha alipojitokeza kushiriki mkutano wa hadhara wa CHADEMA unaofanyika jijini humo.
"Nilipata ajali ya kisiasa na baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kurudi CHADEMA" amesema Selasin
Kwa siku za karibuni Joseph Selasin amekuwa akiunga mkono yale yanayofanywa na CHADEMA na mara kadhaa amekiri kwa kusema kuwa chama kilichopo kwenye uelekeo sahihi kwa sasa ni CHADEMA.
Видео RASMI: SELASINI ARUDI CHADEMA AIKACHA NCCR-MAGEUZI✌️ #shortsviral #chadema #nccrmageuzi #globaltv канала Global TV Online
Selasin ametoa taarifa hiyo leo Ijumaa ya Machi 22, 2026 akiwa jijini Arusha alipojitokeza kushiriki mkutano wa hadhara wa CHADEMA unaofanyika jijini humo.
"Nilipata ajali ya kisiasa na baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kurudi CHADEMA" amesema Selasin
Kwa siku za karibuni Joseph Selasin amekuwa akiunga mkono yale yanayofanywa na CHADEMA na mara kadhaa amekiri kwa kusema kuwa chama kilichopo kwenye uelekeo sahihi kwa sasa ni CHADEMA.
Видео RASMI: SELASINI ARUDI CHADEMA AIKACHA NCCR-MAGEUZI✌️ #shortsviral #chadema #nccrmageuzi #globaltv канала Global TV Online
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
18 ч. 8 мин. назад
00:00:42
Другие видео канала





















