Загрузка страницы

WABUNIFU WAINGIA NA MASHINE ZA KUKAUSHA NA KUTENGANISHA MBEGU MAONYESHO YA SABASABA

Moja kati ya bunifu zilizopo kwenye maonyesho ya kibiashara ya Sabasaba mwaka huu ni pamoja na Mashine inayotumika kukaushia Nyama pamoja na Matunda ili viweze kudumu muda mrefu bila kuharibika.

Mashine hiyo ambayo ni Maalumu kwa ajili ya kupunguza matumizi ya Kemikali kwenye usindikaji wa vyakula na matunda yanayokaa muda mrefu imetengenzwa na chuo cha Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA) Chang’ombe jijini Dar Es Salaam.

Akiungumza wakati wa kutoa ufafanuzi wa namna ambavyo Mashine hiyo inafanya kazi Mwalimu wa fani ya Umeme chuoni hapo, Emmanuel Bukuku amesema kuwa yeye kwa kushirikiana na wanafunzi wamebuni Mashine hiyo ili kuangalia ni namna gani watachangia kupuguza matumizi ya Kemikali kwenye usindikaji wa vyakula mbalimbali yakiwemo matunda na Nyama.
Akiongeza kuhusu uwezo wa Mashine hiyo mwalimu Bukuku alisema kuwa inatumia mfumo wa aina mbili za uendeshaji yani Umeme na Gesi hivyo kuifanya Mashine hiyo kuwa ya kipekee na inayoweza kutumika kwenye mazingira yoyote yale.

Видео WABUNIFU WAINGIA NA MASHINE ZA KUKAUSHA NA KUTENGANISHA MBEGU MAONYESHO YA SABASABA канала Mwananchi Digital
Показать
Комментарии отсутствуют
Введите заголовок:

Введите адрес ссылки:

Введите адрес видео с YouTube:

Зарегистрируйтесь или войдите с
Информация о видео
4 июля 2024 г. 23:20:19
00:07:22
Другие видео канала
Wenje awavaa wanaomsifia Rais Samia, ataka maandamano kuahinikiza waliokula fedha wakamatweWenje awavaa wanaomsifia Rais Samia, ataka maandamano kuahinikiza waliokula fedha wakamatweMbunge Korogwe vijijini amshukuru Rais SamiaMbunge Korogwe vijijini amshukuru Rais SamiaProfesa Janabi Ataja  idadi ya waliowekwa puto,  Muhimbili kuanza huduma upandikizaji mimbaProfesa Janabi Ataja  idadi ya waliowekwa puto, Muhimbili kuanza huduma upandikizaji mimba#LIVE🔴 RAIS SAMIA SAMIA AKIZINDUA KITABU CHA EDWARD MORINGE SOKOINE JNICC-DAR ES SALAAM#LIVE🔴 RAIS SAMIA SAMIA AKIZINDUA KITABU CHA EDWARD MORINGE SOKOINE JNICC-DAR ES SALAAMTAZAMA TRUMP AKISHUKA UWANJA WA NDEGE NEW JERSEY BAADA YA KURUHUSIWA KUTOKA HOSPITALITAZAMA TRUMP AKISHUKA UWANJA WA NDEGE NEW JERSEY BAADA YA KURUHUSIWA KUTOKA HOSPITALIAli Kamwe anamsaka Ahmed Ally: Tumewashona mdomo, atamba na Pacome wa Yanga PrincessAli Kamwe anamsaka Ahmed Ally: Tumewashona mdomo, atamba na Pacome wa Yanga PrincessHUU HAPA UKWELI WOTE NDEGE YA RAIS WA VENEZUELA KUKAMATWA MAREKANI, WASEMA NI 'UHARAMIA'HUU HAPA UKWELI WOTE NDEGE YA RAIS WA VENEZUELA KUKAMATWA MAREKANI, WASEMA NI 'UHARAMIA'Anayedaiwa kumuua mama yake na kuaandaa mazishi akamatwa, chanzo cha mauaji chatajwaAnayedaiwa kumuua mama yake na kuaandaa mazishi akamatwa, chanzo cha mauaji chatajwa'WALIOTUMWA NA AFANDE' MBIVU NA MBICHI KUJULIKANA LEO ||MAISHA JELA, URAIANI'WALIOTUMWA NA AFANDE' MBIVU NA MBICHI KUJULIKANA LEO ||MAISHA JELA, URAIANITAHARUKI GEITA WANANCHI WAVAMIA KITUO CHA POLISI, WAGOMA KUFUNGUA MADUKATAHARUKI GEITA WANANCHI WAVAMIA KITUO CHA POLISI, WAGOMA KUFUNGUA MADUKABREAKING:  RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI ma -DC WAPYA WATATU   , WENGINE WAHAMISHWA MAJINA YOTE HAYA HAPABREAKING: RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI ma -DC WAPYA WATATU , WENGINE WAHAMISHWA MAJINA YOTE HAYA HAPAMbwa akutwa na viungo vya mtoto Dodoma, Polisi yaanza uchunguziMbwa akutwa na viungo vya mtoto Dodoma, Polisi yaanza uchunguziHIZI hapa SABABU Za WANAWAKE kuweka ugoro SEHEMU za SIRIHIZI hapa SABABU Za WANAWAKE kuweka ugoro SEHEMU za SIRIMaisha ya Afande Sele,  mjengo wake huu hapa  amtengenezea Rais Samia, Magufuli maeneo, ataja sababuMaisha ya Afande Sele, mjengo wake huu hapa amtengenezea Rais Samia, Magufuli maeneo, ataja sababuAngalizo matumizi holela vipimo vya Ukimwi, watu wafunguka wanavyowapima wapenzi waoAngalizo matumizi holela vipimo vya Ukimwi, watu wafunguka wanavyowapima wapenzi waoMAPYA YAIBUKA NABII  KIBOKO YA UCHAWI, YASEMEKANA AME....MAPYA YAIBUKA NABII KIBOKO YA UCHAWI, YASEMEKANA AME....AJINYONGA KISA KAMARI YA 'AVIATOR', MAJIRANI WAFUNGUKAAJINYONGA KISA KAMARI YA 'AVIATOR', MAJIRANI WAFUNGUKAMbunge Mwambe amuamshia Waziri Bashe,  "Achia hii kazi"Mbunge Mwambe amuamshia Waziri Bashe, "Achia hii kazi"Fahamu historia ya kijiji cha msomera kilichopo Handeni wanapohamishiwa wananchi wa ngorongoroFahamu historia ya kijiji cha msomera kilichopo Handeni wanapohamishiwa wananchi wa ngorongoroInasikitisha !!!! Ajali yaua wanafunzi wawili TangaInasikitisha !!!! Ajali yaua wanafunzi wawili TangaBalaa lingine mkoani Mwanza!!!!  Auawa kikatili  na kutupwa,  avunjwa miguuBalaa lingine mkoani Mwanza!!!! Auawa kikatili na kutupwa, avunjwa miguu
Яндекс.Метрика