Загрузка...

Mwelekeo wa Taifa: ACT-Wazalendo Waichambua Ripoti ya Jaji Chande na Matokeo ya Uchaguzi

Chama cha ACT-Wazalendo kimetoa tathmini ya kina kuhusu mwelekeo wa kitaifa kufuatia kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi pamoja na kusomwa kwa ripoti ya Tume ya Jaji Chande.

Katika taarifa hii, chama kinaainisha mambo mbalimbali ya kiutawala, kisiasa, na hatua zinazopaswa kuchukuliwa kwa mustakabali wa nchi.

Tazama video hii mwanzo hadi mwisho kufahamu msimamo na mapendekezo ya ACT-Wazalendo.

#ACTWazalendo #RipotiYaJajiChande #Uchaguzi #SiasaZatanzania #MwelekeoWaTaifa#madereka

Видео Mwelekeo wa Taifa: ACT-Wazalendo Waichambua Ripoti ya Jaji Chande na Matokeo ya Uchaguzi канала dh4y Tv
Яндекс.Метрика
Все заметки Новая заметка Страницу в заметки
Страницу в закладки Мои закладки
На информационно-развлекательном портале SALDA.WS применяются cookie-файлы. Нажимая кнопку Принять, вы подтверждаете свое согласие на их использование.
О CookiesНапомнить позжеПринять