Viongozi wa magharibi wapinga ukodishaji wa viwanda
Tetesi zinazidi kuibuliwa kuhusiana na ukodishaji wa viwanda vinne vya sukari huku baadhi ya wabunge kutoka eneo la magharibi wakipinga vikali hatua hiyo na kusema kuwa italemeza uchumi wa wakazi wa magharibi. Wabunge hao wameshangaa ni vipi kiwanda cha Nzoia kilikabishiwa mfanyibiashara Jaswant Rai ilhali mahakama iliamrisha mchakato wa ukodishaji usimamishwe. Wabunge hao wanasema mwekezaji huyo huyo alichukua usukani wa kiwanda cha Panpaper na kutoa ahadi ya kukifufua, ila hadi sasa hajafanya hivyo.
Видео Viongozi wa magharibi wapinga ukodishaji wa viwanda канала Citizen TV Kenya
Видео Viongozi wa magharibi wapinga ukodishaji wa viwanda канала Citizen TV Kenya
Комментарии отсутствуют
Информация о видео
22 ч. 55 мин. назад
00:01:34
Другие видео канала