Загрузка страницы

Historia ya mji wa Mombasa

Mji Wa Mombasa Ni Mji Wenye Historia Ndefu Na Ya Jadi, Wanahistoria Wakisema Kuwa Mombasa Ilikuwepo Tangu Karne Ya 12. Katika Eneo Hili La Pwani, Historia Ya Kwa Nini Wanaoishi Mji Huu Wameitwa Waswahili Na Hata Kuzungumza Lugha Ya Kiswahili Kwa Ufasaha, Mavazi Na Vyakula Pia Vikiwa Tofauti Na Vya Maeneo Mengine Ya Kenya. Na Kama Anavyoarifu Francis Mtalaki, Mombasa Ilikuwa Bandari Kabla Ya Kuwa Mji Mkuu Wa Pili Nchini Baada Ya Nairobi.

Видео Historia ya mji wa Mombasa канала Citizen TV Kenya
Показать
Комментарии отсутствуют
Введите заголовок:

Введите адрес ссылки:

Введите адрес видео с YouTube:

Зарегистрируйтесь или войдите с
Информация о видео
14 мая 2024 г. 13:14:29
00:04:49
Яндекс.Метрика